• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Madiwani Halmashauri ya Mji Newala wametakiwa kuhamasisha maendeleo bila mipaka

Posted on: October 29th, 2021

Madiwaniwa Halmashauri ya Mji Newala wametakiwa kuihamasisha na kuisaidia jamii pasipo kujali mipaka ya kata zao kwa lengo la kurahisha kufikia maendeleo kusudiwa ya wananchi.

Hayo yameelezwa leo Ijumaa Oktoba 29, 2021 na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Yusuph Kateule wakati anafunga kikao cha siku ya kwanza cha baraza la madiwani robo ya kwanza 2021/2022 ambapo amewataka madiwani hao kuwatumikia wananchi kwa kuwa hiyo ndiyo kazi.

Mhe. Kateule amesema ipo dhana imejengeka kwa baadhi ya madiwani kuwa wanatakiwa kufanya kazi eneo fulani jambo ambalo si sahihi kwa pamoja ni watumishi wa wananchi katika halamshauri husika na wanatakiwa kuhamasisha maendeleo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halamsahuri Bi. Shamimu Daudi Mwariko amewasisitiza madiwani kuwa mstari wa mbele katika kusimamia maendeleo ya wananchi na hilo ndilo jukumu kubwa na hata baada ya miaka mitano diwani hupimwa kwa usimamizi wa miradi na maendeleo yanayoonekana.

Katika hatua nyingine Bi. Mwariko ameagiza shule zote ndani ya halamshauri zinatakiwa ziwe na mfumo wa kuvuna maji hivyo pamoja na mpango nzuri wa halmashauri wa kuhakikisha kila jengo linakua na kisima, amewaomba madiwani pamoja maafisa watendaji wa kata kwa kushirikiana na shule kuhakikisha wanaweka msisitizo kwenye vikao vya kijamii juu ya kufanikisha jambo hilo, kwa kuwa kwa upande mwingine agizo hilo ni la katibu Mkuu TAMISEMI.

Sambamba na hilo Mkurugenzi ameiomba jamii kwa ujumla kuchukua jukumu la kupambana na tatizo la mimba kwa wanafunzi, shule liwe eneo salama la kuzalisha watoto wa kike kusoma na kuongeza ujuzi na maarifa nisingependa halmashauri yetu iwe sehemu ya kuzalisha watoto wa mitaani.

Naye Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Newala Kamanda Edward Mukama, amesema madiwani wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kuisaidia serikali kuzuia ubadhilifu kwa kuisimamia halmashauri ipasavyo katika matumizi yote fedha katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo na matumizi mengine.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANAUME WAMETAKIWA KUJITOKEZA KUSHIRIKI MASUALA YA AFYA NA LISHE YA MTOTO

    July 02, 2025
  • HOSPITALI YA WILAYA YA NEWALA IMEANZA KUTOA MATIBABU YA VIUNGO KWA NJIA YA MAZOEZI

    July 01, 2025
  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa