• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Mhe Mkuchika amesema mshikamano uliopo baina ya viongozi ndani ya halmashauri ndio sababu ya kufikia malengo ya mendeleo

Posted on: December 4th, 2021

Mbunge wa Jimbo la Newala Mjini Mhe. George Mkuchika amesema mshikamano wa wapamoja katika uongozi ndio unaoifanya halmashauri ya mji Newala kuwa  halmashauri bora inayoongoza kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Ameyaeleza hayo Jumamosi Tarehe 4/12/2021 wakati anahitimisha ziara yake ya siku tatu ya kuongea na wananchi wa kata za Mkulung’ulu, Chitandi pamoja na wakazi wa Newala mjini ambapo amesema umoja wa viongozi ndio siri pekee ya mafanikio ya usimamizi bora wa miradi ya maendeleo ndani ya halmashauri.

Mhe. Mkuchika amesema kuwa halmashauri hiyo inafanikiwa kwa kuwa imekua na ajenda moja kuu ya kujadili kitu gani kifanyike kwa maslahi ya wananchi wote, huku akiwapongeza madiwani na mkurugenzi kwa usimamizi na utekelezaji “halmashauri hii wanazungumza na kujadili watu wanataka maji, wanataka barabara, wanataka ukarabati wa shule, wanataka chama cha msingi wanazungumza mambo ya maendeleo, ukienda halamsahauri zingine ni mivutano ajenda moja wanajadili kutwa na kesho inaendelea” amefafanua.

Akielezea mafanikio ya halmashauri ya mji Newala, Mwenyekiti wa halmshauri hiyo Mhe. Yusuph Kateule amemshukuru Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kuipatia halmashauri shilingi bilioni 1.647 katika kipindi cha miezi sita ili kutekeleza miradi ya Afya, Elimu msingi na sekondari, Barabara, Tasaf na sekta zingine huku akimshukuru Mhe. Mkuchika kwa jitihada zake za kuwaletea wananchi maendeleao.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya Alhaj Mwangi Rajabu Kundya amepongeza juhudi za mheshimiwa mbunge kuuboresha mji wa Newala kuufanya kuwa wa kisasa kwa kuwatafuta wadau wa maendeleo wanaowezesha miradi mbalimbali ikiwemo barabara za lami, mataa ya barabarani, ujenzi wa mifereji na mitaro pamoja na mambo mengine yanayopendezesha mji.

Amesema ni viongozi wachache wenye mapenzi ya kweli kwa wananchi wao wanaosimamia shughuli za maendeleo na kuleta matokeo kwani wengine wanashau pale wanapopata nafasi baada ya kuchaguliwa au pale wanapokuwa kwenye nafasi za uongozi.

Katika ziara yake hiyo wananchi wamemshukuru na kumpongeza kwa kazi kubwa alinayoifanya kuifanya halamshauri ya mji Newala kufanana na mji kwa maendeleo yaliyopo katika Nyanja mbalimbali.

Ziara Mhe. Mkuchika ililenga kuwashukuru wananchi wa jimbo la Newala Mjini na kuwaeleza mafanikio na mipango ya maendeleo ya serikali iliyopo katika halmashauri hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa