• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

RAS MTWARA: Madiwani halmashauri ya Mji Newala wasilisheni hoja za wananchi

Posted on: December 4th, 2020

Baraza la madiwani la halmashauri ya mji ya Newala, limezinduliwa rasmi jana tarehe 03 disemba, 2020 huku madiwani wateule wakitakiwa kuwasilisha hoja za maendeleo ya wananchi badala ya hoja zao binafsi.

Hayo yameeleezwa na mgeni rasmi katika kikao hicho cha uzinduzi, Katibu tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Alphayo Kidata wakati wa hotuba yake ambapo amesema wao ni wawakalishi wa wananchi hivyo jukumu lao kubwa ni kusimamia maslahi ya wananchi waliowachagua.

Aidha amesema sambamba na jukumu hilo ni wajibu wao kusimamia ukusanyaji wa mapato ya halmashauri kwa kuwa ndilo jawabu la kufanikisha utekeleaji wa miradi ya maendeleo na kutimiza ahadi walizoweka na wananchi wakati wa kuomba kura.

Hata hivyo Mwenyekiti wa halmashauri Mhe. Yusuph Kateule amewataka madiwani kuwa na uvumilivu katika utendaji wao wa kazi kwa kujitume ili wananchi waliowachagua wanufaike matuma ya kile walichokipanda kwenye masanduku ya kura.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya mji Newala amewaomba madiwani kutambua miradi ya maendeleo ni ya wananchi wenyewe, hivyo wanatakiwa kuwahamasisha wananchi kujitokeza katika utekelezaji wa miradi itakayo jitokeza pamoja na kuwa na mahusiano mazuri na watendaji wa seriakali.

Naye Mbunge wa jimbo la Newala Mjini Kapteni Mstahafu Mhe. George Mkuchika amelitaka baraza hilo kuhakikisha linaweka kipaumbele kwenye masuala ya afya kwa kusimamia ujenzi wa vyoo bora na usafi wa mazingira unaoenda sambamba na ukuaji wa mji wa Newala.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo amewataka madiwani wanawake wawe wajenga hoja za kutetea maslahi ya wanawake na wananchi waliowachagua ili kuonyesha thamani ya mwamamke kwenye jamii katika kuelekea ajenda ya 50 kwa 50.

Baraza hilo lenye jumla ya madiwani 20 wa CCM na mmoja CUF  lilizinduliwa kwa kuanza kuwaapishwa madiwani wote, kuchangua mwenyekiti ambaye ni Mhe. Yusuph Halfani Kateule na makamo wake Mhe. Hamisi J. Namata wote kutoka CCM  pamoja na kuunda kamati mbalimbali za kudumu za halmashauri.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa