• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wananchi wametakiwa kushikamana katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.

Posted on: January 31st, 2020

Wananchi, watumishi wa umma, wadau wamaendeleo pamoja na Madiwani wa halmashauri ya mji Newala kwa pamoja wametakiwa kushikamana katika kusimamia na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ndani ya halamshauri hiyo.

Rai hiyo imetolewa Leo Ijumaa Januari 31, 2020 wakati wa mkutano wa siku ya pili wa baraza la madiwani wa robo ya pili 2019/2020 na mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mhe. Sambili Mohamedi ambapo ameeleza kuwa umefika wakati wa kila mmoja kutumika pasipo kuangalia changamoto za kiutendaji zilizopo ili kufikia malengo kusudiwa ya maendeleo.

Aidha amewataka watendaji wa kata kuawalika maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwenye mikutano yao ya vijiji na kata ili wananchi wapewe elimu juu ya athari za rushwa na njia za kutoa taarifa za matukio ya rushwa yananyojitokeza katika maeneo yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya hiyo Ndg. Andrew Mgaya amewata wananchi kuudhuria vikao mbalimbali ili kufikia makubaliano ya kutekeleza shughuli za maendeleo katika maeneo yao na kuondokana na dhana kuwa shughuli hizo hawazifahamu.

Aidha Mkurugenzi amesema lipo tatizo la wananchi kugomea kuchangia michango iliyokubaliwa katika vikao kutokana na baadhi yao kutoshiriki mikutano hiyo na unapofika wakati wa utaekelezaji, hulalamika kuwa hawajui lolote hivyo ni muhimu kubadili fikra ili wananchi wote washiriki kuleta maendeleo yao.

Katika kipindi cha robo ya pili Oktoba - Disemba 2019/2020 halmashauri ya Mji Newala imetumia shilingi bilioni 4.5 kutekeleza shughuli zake pamoja na miradi mbalimbali ya maendeleo.



Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa