• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Newala Town Council
Newala Town Council

Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Mahusiano ya Umma
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi, Maliasili na Mipango Miji
      • Kazi
      • Usafi na Mazingira
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio
    • Video
    • Maktaba ya picha

Wazazi Nchini wametakiwa kuweka kipaumbele cha elimu katika malezi ya watoto.

Posted on: December 2nd, 2021

Mbunge wa jimbo la Newala Mjini ambaye pia ni Waziri Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. George Mkuchika amewataka wazazi kuhakikisha wanaweka kipaumbele cha elimu kwa wandaa watoto wao na kuwapeleka shule.

Ameyaeleza hayo leo Tarehe 2/12/2021 katika ziara yake ya kuongea na wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara ambapo amesema serikali imejenga miundo mbinu ya kutosha katika sekta ya elimu ndani ya halmashauri ya Mji wa Newala kwa kuongeza madarasa na shule mpya hivyo huu ni wakati wa wananchi kunufaika.

Aidha amebainisha kuwa kwa shule za wasichana za kidato cha tano na sita Nangwanda pamoja na Kiuta zimekuwa shule kinara katika matokeo ya kitaifa mkoa wa Mtwara, hivyo ni wakati wa wananchi wa Newala kutumia fursa hiyo kuwawezesha na kuwahimiza watoto wao katika elimu kwa kuwa wanufaika wengi ni watoto waotoka mikoa ya mbali.  

Mhe. Mkuchika ameeleza kuwa “sisi Newala wakati wenzetu wanapiga hatua mbalimbali za maendeleo, tulikua kama wahanga wa vita ya kudai uhuru ya ndugu zetu Mozambique, hivyo tulikua tunawaza sana kunusuru maisha yetu na serikali kwa kulijua hilo ndio maana sasa wametuletea shule mpya na kutuongezea madarasa”.

Hata hivyo Mhe. Mkuchika amefafanua kuwa halmashauri ya Mji Newala kwasasa ipo kwenye ujenzi wa shule mpya ya mshingi ya miembe saba kata Luchingi, ujenzi wa shule ya sekondari Makondeko Kata ya Makote, shule mpya ya sekondari ukanda wa bonde la mto Ruvuma, kuanzisha shule za kidato cha tano na sita kwa wavulana shule ya Malocho kata ya Nanguruwe, na Nambunga kata ya Mnekachi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmshauri ya Mji Newala Mhe. Yusuph Kateule amnaye pia ni diwani wa Kata ya Nanguruwe amemshukuru mbunge huyo kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwatumikia wananchi wa halmashauri ya mji Newala, kwa kuwatafutia vyanzo mbalimbali vya kuwezeka utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuwaomba wananchi kumuunga mkono katika kipindi chake.

Kwa upande wake Katibu wa Chama Cha Mapindizi wilayani Newala Bi. Sophia Lipenye amewaambia wananchi kuwa chama kupitia ilani kimedhamiria kupeleka maendeleo kwa jamii, hivyo nguvu ya pamoja inahitajika kwa kuwa Newala imepata kiongozi hodari anayejali wananchi wake.

Ziara hii ya siku ya kwanza  ametembelea na kuzungumza na wananchi wa kata za Nanguruwe, Tawala na Mkunya.

Matangazo

  • TANGAZO NAFASI YA AJIRA MTENDAJI WA KIJIJI January 25, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III April 14, 2023
  • WITO WA MAFUNZO YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA January 21, 2025
  • WALIOCHAGULIWA KUWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA BVR OPERATORS JIMBO LA NEWALA MJINI January 14, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Bilioni 21.5 baji ya Mji Newala 2023/2024

    August 04, 2023
  • Tupo nanenane kutoa elimu kwa wananchi itakayobadilisha mitazamo yao kwenye kilimo.

    August 02, 2023
  • Serikali imesema wanawake na vijana wanaweza kukuza kilimo biashara na kuwa endelevu

    August 01, 2023
  • Mkuu wa mkoa Mtwara aridhishwa na utekelezaji wa miradi ya BOOST na ujenzi wa mabweni

    July 29, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyingine

Kurasa za Haraka

  • Sanitation day
  • Tender
  • Uhuru torch

Kurasa Mashuhuri

  • Higher Education Students' Loans Board
  • National Examinations Council of Tanzania
  • Tanzania National Electoral Commission
  • PSPF Pension Fund
  • Public Service Management
  • President's Office Regional Administration and Local Government

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Newala-Mtwara

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 39

    Simu: (+255) 023 2935398

    Mobile: PS (0684439199)

    Barua pepe: info@newalatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Disclaimer
    • Sera ya Faragha
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya eneo la tukio
    • Huduma

Haki miliki©2017 NTC. Masharti yote yanazingatiwa